Sera ya Elimu na Mafunzo 2014

Serikali imekusudia kuleta mapinduzi ya kiuchumi ili kuibadili Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025. Sekta ya elimu na mafunzo, kwa mujibu wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025 na Mpango wa muda mrefu wa Maendeleo ya Taifa 2011/12 hadi 2024/25, inatarajiwa kuleta maendeleo ya haraka ya rasilimali watu kwa kutayarisha idadi ya kutosha ya Watanzania walioelimika na kupenda kujielimisha zaidi ili kulifanya Taifa lipate maendeleo na kuwa lenye uchumi wa kati na shindani ifikapo mwaka 2025.

Kwa habari zaidi

Contact Us

  • Address:Msalato Secondary School,
  • P.O Box 933, Dodoma,
  • Tanzania
  • Headmistress:0685516117
  • Secondmaster:0787285747
  • Email:info@msalatosec.sc.tz